Watu maarufu ndani ya Tanzania wamekuwa wakituma pongezi zao kwa watanzania wote katika kusherekea siku hii muhimu ya kitaifa ambapo imetimia miaka 53 tangu kupatikana kwa uhuru wa taifa la Tanzania..
Watu maarufu ndani ya Tanzania wamekuwa wakituma pongezi zao kwa watanzania wote katika kusherekea siku hii muhimu ya kitaifa ambapo imetimia miaka 53 tangu kupatikana kwa uhuru wa taifa la Tanzania..