Msanii Aisha Madinda Azikwa rasmi Jana huko Kibada, Dar es salaam

 

Bado wapenzi wa burudani ya muziki wa dansi nchini Tanzania wamegubikwa na majonzi ya kumpeteza msanii Asha Madinda. 

Mtoto wa Marehemu Aisha, anaitwa Feysal Madinda akiwa makaburini

Jana ndio siku ambayo yalifanyika mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa Bendi ya Twanga Pepeta, Aisha Madinda katika makaburi ya Kibada, Kigamboni Dar es Salaam baada ya uchunguzi wa postmortem kukamilika katika Hospitali ya Muhimbili.

Watu mbalimbali walijitokeza kumsindikiza msanii huyo kwenye safari yake ya mwisho duniani, unaweza kuona matukio yote kwenye picha hizi.



Mwili wa asha Ukitolewa kwenye gari



 Mwili wa Aisha Madinda ukiwasili nyumbani kwa ajili ya kuswaliwa kabla ya mazishi yaliyofanyika jana jioni katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jijini Dar es salaam

Nje Ya Box

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi